Nyumba safi
Nime weza kutembelea nyumba nyingi hapa jijini Dar ila ni nyumba chache zinazo zingatia usafi kwa kiwango kinacho hitajika na wingi wa nyumba hizI zisizo zingatia ubora wa usafi wamejikuta wakilaumu ima vifaa wanavyo tumia kusafishia hata madawa wanayo tumia kumbe walipaswa kuzingatia hitaji la madawa husika kwa matumizi husika
Tupo kwaajili yako kuhakikisha tunatunatunza thamani ya pesa zako
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni